Mathayo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni na kuruka kwa shangwe,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii+ waliokuwa kabla yenu. 1 Wathesalonike 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 nanyi mkawa waigaji+ wetu na wa Bwana,+ kwa kuwa mlilipokea neno chini ya dhiki+ nyingi pamoja na shangwe ya roho takatifu,+
12 Shangilieni na kuruka kwa shangwe,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii+ waliokuwa kabla yenu.
6 nanyi mkawa waigaji+ wetu na wa Bwana,+ kwa kuwa mlilipokea neno chini ya dhiki+ nyingi pamoja na shangwe ya roho takatifu,+