Luka 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini nimeomba dua+ kwa ajili yako ili imani yako isififie; na wewe, mara tu utakapokuwa umerudi, watie nguvu+ ndugu zako.” 2 Wakorintho 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambaye hutufariji katika dhiki yetu yote,+ ili tuweze kuwafariji+ wale walio katika namna yoyote ya dhiki kupitia faraja ambayo sisi wenyewe tunafarijiwa na Mungu.+
32 Lakini nimeomba dua+ kwa ajili yako ili imani yako isififie; na wewe, mara tu utakapokuwa umerudi, watie nguvu+ ndugu zako.”
4 ambaye hutufariji katika dhiki yetu yote,+ ili tuweze kuwafariji+ wale walio katika namna yoyote ya dhiki kupitia faraja ambayo sisi wenyewe tunafarijiwa na Mungu.+