2 Ndipo wakaanza kumshtaki,+ wakisema: “Tulimkuta mtu huyu akipindua+ taifa letu na kuwakataza watu wasimlipe Kaisari kodi+ na kusema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo mfalme.”+
12 Kwa sababu hii Pilato akazidi kutafuta jinsi ya kumfungua. Lakini Wayahudi wakapaaza sauti, wakisema: “Ukimfungua mtu huyu, wewe si rafiki ya Kaisari. Kila mtu anayejifanya mfalme anasema vibaya juu ya Kaisari.”+