Waroma 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 yaani, wale walioibadili kweli+ ya Mungu kwa ajili ya uwongo+ nao wakauheshimu mno uumbaji na kuutolea utumishi mtakatifu badala ya kumtolea Yeye aliyeumba, anayebarikiwa milele. Amina. Wakolosai 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa maana mambo hayo ni kivuli+ cha mambo yanayokuja, bali uhalisi+ ni wa Kristo.+
25 yaani, wale walioibadili kweli+ ya Mungu kwa ajili ya uwongo+ nao wakauheshimu mno uumbaji na kuutolea utumishi mtakatifu badala ya kumtolea Yeye aliyeumba, anayebarikiwa milele. Amina.