Zaburi 32:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwenye furaha ni mtu ambaye Yehova hamhesabii kosa,+Na ambaye katika roho yake hamna udanganyifu.+ 2 Wakorintho 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo+ alikuwa akiupatanisha ulimwengu+ kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa+ yao, naye alitukabidhi sisi lile neno+ la upatanisho.+
19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo+ alikuwa akiupatanisha ulimwengu+ kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa+ yao, naye alitukabidhi sisi lile neno+ la upatanisho.+