Waroma 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+ 1 Wakorintho 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana inaonekana kwangu kwamba Mungu ametuweka sisi mitume mwisho katika wonyesho wa hadharani+ kama watu waliowekewa kifo,+ kwa sababu tumekuwa tamasha+ kwa ulimwengu, na kwa malaika,+ na kwa wanadamu.+ 1 Wakorintho 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nakabili kifo kila siku.+ Hili nathibitisha kwa furaha+ niliyo nayo juu yenu, akina ndugu, ambayo ninayo katika Kristo Yesu Bwana wetu.
36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+
9 Kwa maana inaonekana kwangu kwamba Mungu ametuweka sisi mitume mwisho katika wonyesho wa hadharani+ kama watu waliowekewa kifo,+ kwa sababu tumekuwa tamasha+ kwa ulimwengu, na kwa malaika,+ na kwa wanadamu.+
31 Nakabili kifo kila siku.+ Hili nathibitisha kwa furaha+ niliyo nayo juu yenu, akina ndugu, ambayo ninayo katika Kristo Yesu Bwana wetu.