4 Kwa hiyo tulizikwa+ pamoja naye kupitia ubatizo wetu katika kifo chake, ili, kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kupitia utukufu wa Baba,+ vivyo hivyo sisi pia tunapaswa tutembee katika hali mpya ya uzima.+
48 Kama alivyo yule aliyefanywa kwa mavumbi,+ ndivyo walivyo pia wale waliofanywa kwa mavumbi; na kama alivyo yule wa mbinguni,+ ndivyo walivyo pia wale wa mbinguni.+