4 Kwa maana kutokana na dhiki nyingi na maumivu makali ya moyo niliwaandikia ninyi kwa machozi mengi,+ si ili mhuzunishwe,+ bali ili muujue upendo nilio nao hasa zaidi kwa ajili yenu.
2Kwa maana nataka mjue jinsi nilivyo na shindano+ kubwa kwa ajili yenu na kwa ajili ya wale walio katika Laodikia+ na wale wote ambao hawajauona uso wangu katika mwili,