15 Lakini Bwana akamwambia: “Ondoka uende, kwa sababu mtu huyu ni chombo kilichochaguliwa+ kwangu ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na vilevile kwa wafalme+ na wana wa Israeli.
16 Hata hivyo, inuka usimame kwa miguu yako.+ Kwa maana nimejionyesha kwako kwa sababu hii, ili nikuchague wewe uwe mtumishi na shahidi+ wa mambo ambayo umeona na pia mambo nitakayokuonyesha juu yangu;