Matendo 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na watu fulani wakashuka kutoka Yudea+ na kuanza kuwafundisha ndugu: “Msipotahiriwa+ kulingana na desturi ya Musa,+ hamwezi kuokolewa.” Wagalatia 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wale wote wanaotaka kuwa na sura ya kupendeza katika mwili ndio wanaojaribu kuwalazimisha ninyi mtahiriwe,+ ili tu wasiteswe kwa ajili ya mti wa mateso wa Kristo,+ Yesu.
15 Na watu fulani wakashuka kutoka Yudea+ na kuanza kuwafundisha ndugu: “Msipotahiriwa+ kulingana na desturi ya Musa,+ hamwezi kuokolewa.”
12 Wale wote wanaotaka kuwa na sura ya kupendeza katika mwili ndio wanaojaribu kuwalazimisha ninyi mtahiriwe,+ ili tu wasiteswe kwa ajili ya mti wa mateso wa Kristo,+ Yesu.