Yohana 8:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wakajibu, wakamwambia: “Baba yetu ni Abrahamu.”+ Yesu akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watoto wa Abrahamu,+ fanyeni kazi za Abrahamu. Waroma 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wao pia, ikiwa hawatadumu katika ukosefu wao wa imani, watapandikizwa;+ kwa maana Mungu anaweza kuwapandikiza tena.
39 Wakajibu, wakamwambia: “Baba yetu ni Abrahamu.”+ Yesu akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watoto wa Abrahamu,+ fanyeni kazi za Abrahamu.
23 Wao pia, ikiwa hawatadumu katika ukosefu wao wa imani, watapandikizwa;+ kwa maana Mungu anaweza kuwapandikiza tena.