18 Hii hapa ni salamu yangu, ya Paulo, kwa mkono wangu mwenyewe.+ Endeleeni kuvikumbuka akilini vifungo vyangu vya gereza.+ Fadhili zisizostahiliwa ziwe pamoja nanyi.
8 Kwa hiyo usione aibu juu ya ule ushahidi kumhusu Bwana wetu,+ wala kunihusu mimi mfungwa kwa ajili yake,+ bali shiriki sehemu yako katika kuvumilia+ uovu kwa ajili ya habari njema kulingana na nguvu za Mungu.+
13 Mimi ningependa kumzuia kwa ajili yangu mwenyewe ili badala yako+ wewe aendelee kunihudumia katika vifungo vya gereza+ nilivyo navyo kwa ajili ya habari njema.