Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+ 1 Wakorintho 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi yeye anayepanda na yeye anayetia maji ni kitu kimoja,+ lakini kila mtu atapokea thawabu yake mwenyewe kulingana na kazi yake mwenyewe.+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
8 Basi yeye anayepanda na yeye anayetia maji ni kitu kimoja,+ lakini kila mtu atapokea thawabu yake mwenyewe kulingana na kazi yake mwenyewe.+