25 Kwa hiyo, walipokuwa wametoa ushahidi kikamili na wakiwa wamelisema neno la Yehova, wakarudi Yerusalemu, nao wakaenda wakitangaza habari njema kwenye vijiji vingi vya Wasamaria.+
35 Hata hivyo, Paulo na Barnaba wakaendelea kukaa Antiokia+ wakifundisha na kutangaza habari njema ya neno la Yehova, wakiwa pamoja na wengine wengi pia.+
8 Ukweli ni kwamba, si kwamba neno la Yehova+ kutoka kwenu limevuma tu katika Makedonia na Akaya, bali pia kila mahali imani yenu+ kwa Mungu imeenea kotekote,+ hivi kwamba hatuhitaji kusema lolote.