Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 38:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa neno+ la Yehova likamjia Isaya, kusema:

  • Matendo 8:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa hiyo, walipokuwa wametoa ushahidi kikamili na wakiwa wamelisema neno la Yehova, wakarudi Yerusalemu, nao wakaenda wakitangaza habari njema kwenye vijiji vingi vya Wasamaria.+

  • Matendo 15:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Hata hivyo, Paulo na Barnaba wakaendelea kukaa Antiokia+ wakifundisha na kutangaza habari njema ya neno la Yehova, wakiwa pamoja na wengine wengi pia.+

  • 1 Wathesalonike 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ukweli ni kwamba, si kwamba neno la Yehova+ kutoka kwenu limevuma tu katika Makedonia na Akaya, bali pia kila mahali imani yenu+ kwa Mungu imeenea kotekote,+ hivi kwamba hatuhitaji kusema lolote.

  • 1 Petro 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 bali neno la Yehova linadumu milele.”+ Basi, hili ndilo “neno,”+ hili ambalo ninyi mmetangaziwa+ kuwa habari njema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki