2 Timotheo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Bwana na aipe rehema nyumba ya Onesiforo,+ kwa sababu mara nyingi aliniletea kiburudisho,+ naye hakuionea aibu minyororo yangu.+ Waebrania 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.
16 Bwana na aipe rehema nyumba ya Onesiforo,+ kwa sababu mara nyingi aliniletea kiburudisho,+ naye hakuionea aibu minyororo yangu.+
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.