4 Mmetenganishwa na Kristo, hata muwe ninyi ni nani ambao mnajaribu kutangazwa kuwa waadilifu kwa njia ya sheria;+ mmeanguka kutoka kwenye fadhili zake zisizostahiliwa.+
15 mkiwa waangalifu kwamba yeyote asinyimwe fadhili zisizostahiliwa za Mungu;+ kwamba mzizi wowote wenye sumu+ usichipuke na kusababisha taabu na kwamba wengi wasitiwe unajisi na huo;+