Matendo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.” Waroma 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Au je, hamjui kwamba sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu+ tulibatizwa katika kifo chake?+
4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”