Mwanzo 21:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi Abrahamu akachukua kondoo na ng’ombe akampa Abimeleki,+ na wote wawili wakafanya agano.+ Wagalatia 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akina ndugu, nasema kwa njia ya mfano wa mwanadamu: Agano lililohalalishwa, ingawa ni la mwanadamu, hakuna yeyote anayelifuta au kuongeza jambo juu yake.+
15 Akina ndugu, nasema kwa njia ya mfano wa mwanadamu: Agano lililohalalishwa, ingawa ni la mwanadamu, hakuna yeyote anayelifuta au kuongeza jambo juu yake.+