Luka 6:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Zaidi ya hayo, acheni kuhukumu, nanyi hamtahukumiwa;+ na acheni kulaumu, nanyi hamtalaumiwa. Endeleeni kuachilia, nanyi mtaachiliwa.+
37 “Zaidi ya hayo, acheni kuhukumu, nanyi hamtahukumiwa;+ na acheni kulaumu, nanyi hamtalaumiwa. Endeleeni kuachilia, nanyi mtaachiliwa.+