16 Basi na tukikaribie,+ tukiwa na uhuru wa kusema,+ kiti cha ufalme cha fadhili zisizostahiliwa, ili tupokee rehema na kupata fadhili zisizostahiliwa kuwa msaada kwa wakati unaofaa.+
28 Kwa hiyo sasa, watoto wadogo,+ kaeni katika muungano+ na yeye, ili wakati atakapofunuliwa+ sisi tuwe na uhuru wa kusema+ na tusipate aibu kutoka kwake katika kuwapo+ kwake.