3 Alipokuwa ameketi juu ya Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakisema: “Tuambie, Mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”+
13 kusudi afanye mioyo yenu kuwa imara, isiyolaumika+ katika utakatifu mbele za Mungu na Baba yetu wakati wa kuwapo+ kwa Bwana wetu Yesu pamoja na watakatifu wake wote.+