Yohana 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mkishika amri zangu,+ mtakaa katika upendo wangu, kama vile mimi nilivyoshika amri za Baba+ na kukaa katika upendo wake. Waroma 8:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 wala kimo wala kina wala uumbaji mwingine wowote havitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu.+ 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
10 Mkishika amri zangu,+ mtakaa katika upendo wangu, kama vile mimi nilivyoshika amri za Baba+ na kukaa katika upendo wake.
39 wala kimo wala kina wala uumbaji mwingine wowote havitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu.+
3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+