2 Timotheo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Bwana na amruhusu apate rehema+ kutoka kwa Yehova katika siku ile.+ Na utumishi wote aliotoa katika Efeso wewe unaujua vema kabisa. Tito 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 si kutokana na matendo yoyote+ ya uadilifu ambayo tulikuwa tumefanya,+ bali kulingana na rehema+ yake alituokoa kupitia kuoshwa+ kulikotuleta kwenye uzima+ na kupitia kutufanya sisi kuwa wapya kwa roho takatifu.+
18 Bwana na amruhusu apate rehema+ kutoka kwa Yehova katika siku ile.+ Na utumishi wote aliotoa katika Efeso wewe unaujua vema kabisa.
5 si kutokana na matendo yoyote+ ya uadilifu ambayo tulikuwa tumefanya,+ bali kulingana na rehema+ yake alituokoa kupitia kuoshwa+ kulikotuleta kwenye uzima+ na kupitia kutufanya sisi kuwa wapya kwa roho takatifu.+