7 ili, baada ya kutangazwa kuwa waadilifu+ kwa msingi wa fadhili zisizostahiliwa zake huyo,+ sisi tuwe warithi+ kulingana na tumaini la uzima wa milele.+
2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa,+ na sisi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwapa ninyi habari juu ya uzima wa milele+ ambao ulikuwa pamoja na Baba na ukafunuliwa kwetu,)