13 Kwa hiyo, walipokuwa wameingia, wakapanda na kuingia katika chumba cha juu,+ ambamo walikuwa wakikaa, Petro vilevile Yohana na Yakobo na Andrea, Filipo na Tomasi, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo na Simoni mwenye bidii, na Yuda mwana wa Yakobo.+