Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Majina ya wale mitume kumi na wawili+ ndiyo haya:+ Kwanza, Simoni, anaiyeitwa Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; na Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake;

  • Luka 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini ilipokuwa mchana akawaita wanafunzi wake akachagua kutoka kati yao kumi na wawili, ambao pia aliwaita “mitume”:+

  • Matendo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo, walipokuwa wameingia, wakapanda na kuingia katika chumba cha juu,+ ambamo walikuwa wakikaa, Petro vilevile Yohana na Yakobo na Andrea, Filipo na Tomasi, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo na Simoni mwenye bidii, na Yuda mwana wa Yakobo.+

  • Waefeso 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 nanyi mmejengwa juu ya msingi+ wa mitume+ na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe akiwa ndiye jiwe la msingi la pembeni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki