Zaburi 47:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mungu amekuwa mfalme juu ya mataifa.+Mungu mwenyewe ameketi juu ya kiti chake kitakatifu cha ufalme.+ Isaya 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+
8 Mungu amekuwa mfalme juu ya mataifa.+Mungu mwenyewe ameketi juu ya kiti chake kitakatifu cha ufalme.+
6 Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+