2 ndipo wana wa Mungu wa kweli+ wakaanza kuwaona+ mabinti wa wanadamu, kwamba ni wenye sura ya kupendeza; nao wakajichukulia wake, yaani, wote waliowachagua.
15 Kwa hiyo si jambo kubwa kama wahudumu+ wake wakiendelea pia kujigeuza wenyewe kuwa wahudumu wa uadilifu. Lakini mwisho wao utakuwa kulingana na matendo yao.+