Ufunuo 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na moshi wa kuteswa kwao unapanda milele na milele,+ nao hawana pumziko mchana na usiku, wale wanaomwabudu yule mnyama-mwitu na sanamu yake, na yeyote anayepokea alama+ ya jina lake.
11 Na moshi wa kuteswa kwao unapanda milele na milele,+ nao hawana pumziko mchana na usiku, wale wanaomwabudu yule mnyama-mwitu na sanamu yake, na yeyote anayepokea alama+ ya jina lake.