Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye huwalazimisha watu wote,+ wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, kwamba wawape hao alama katika mkono wao wa kuume au juu ya paji la uso wao,+

  • Ufunuo 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na yule wa kwanza+ akaenda zake na kumwaga bakuli lake ndani ya dunia.+ Na kidonda chenye kuumiza na kilicho hatari+ kikaja juu ya wale wanadamu waliokuwa na alama ya yule mnyama-mwitu+ na waliokuwa wakiiabudu sanamu yake.+

  • Ufunuo 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nikaona viti vya ufalme,+ na kulikuwa na wale walioketi juu yake, nao wakapewa mamlaka ya kuhukumu.+ Ndiyo, niliona nafsi za wale waliouawa kwa shoka kwa ajili ya ushahidi waliotoa kumhusu Yesu na kwa ajili ya kusema juu ya Mungu, na wale ambao hawakumwabudu yule mnyama-mwitu+ wala sanamu+ yake na ambao hawakupokea ile alama juu ya paji la uso wao na juu ya mkono wao.+ Nao wakawa hai na kutawala wakiwa wafalme+ pamoja na Kristo kwa miaka elfu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki