16 Naye huwalazimisha watu wote,+ wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, kwamba wawape hao alama katika mkono wao wa kuume au juu ya paji la uso wao,+
18 Hapa ndipo hekima inapohitajiwa: Yeye aliye na akili na apige hesabu ya namba ya yule mnyama-mwitu, kwa maana ni namba ya mwanadamu;+ na namba yake ni 666.+