Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na malaika mwingine, wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kubwa: “Yeyote akimwabudu yule mnyama-mwitu+ na sanamu yake,+ na kupokea alama juu ya paji la uso wake au juu ya mkono wake,+

  • Ufunuo 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na yule wa kwanza+ akaenda zake na kumwaga bakuli lake ndani ya dunia.+ Na kidonda chenye kuumiza na kilicho hatari+ kikaja juu ya wale wanadamu waliokuwa na alama ya yule mnyama-mwitu+ na waliokuwa wakiiabudu sanamu yake.+

  • Ufunuo 19:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na yule mnyama-mwitu+ akakamatwa, na yule nabii wa uwongo+ pamoja naye, aliyefanya mbele yake ishara+ alizotumia kuwapotosha wale waliopokea alama+ ya yule mnyama-mwitu na wale wanaoitolea sanamu+ yake ibada. Wakiwa bado hai, wote wawili walitupwa ndani ya ziwa la moto linalowaka kwa kiberiti.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki