4Baada ya mambo haya nikaona, na, tazama! mlango uliofunguliwa mbinguni, na sauti ya kwanza niliyoisikia ilikuwa kama ya tarumbeta,+ ikisema nami, ikiniambia: “Panda uje huku,+ nami nitakuonyesha mambo ambayo lazima yatendeke.”+
6 Naye akaniambia: “Maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli;+ ndiyo, Yehova Mungu wa maneno ya manabii yaliyoongozwa na roho+ alimtuma malaika wake ili kuwaonyesha watumwa wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi.+