Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 145:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yehova ni mwadilifu katika njia zake zote+

      Na mshikamanifu katika kazi zake zote.+

  • Yeremia 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nenda, nawe uitangazie kaskazini+ maneno haya na kusema:

      “‘“Rudi, Ee Israeli mwenye kuasi,” asema Yehova.’+ ‘ “Sitawatazama ninyi kwa hasira,+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,”+ asema Yehova.’ ‘ “Sitaendelea kufungia kinyongo mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Ufunuo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki