24 Na kuhusu zile pembe kumi, kuna wafalme kumi watakaosimama kutoka katika ufalme huo;+ na bado mwingine atasimama baada yao, naye atakuwa tofauti na wale wa kwanza,+ naye atawafedhehesha wafalme watatu.+
12 “Na zile pembe kumi ulizoona zinamaanisha wafalme kumi,+ ambao bado hawajapokea ufalme, lakini wanapokea mamlaka wakiwa wafalme saa moja pamoja na yule mnyama-mwitu.