Yohana 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Msistaajabie jambo hili, kwa sababu saa inakuja ambayo wale wote waliomo ndani ya makaburi ya ukumbusho+ wataisikia sauti yake Matendo 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 nami nina tumaini+ kwa Mungu, tumaini ambalo watu hawa pia wanalo, kwamba kutakuwa na ufufuo+ wa waadilifu+ na wasio waadilifu+ pia. Waefeso 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Zaidi ya hilo, ninyi ndio ambao Mungu alifanya kuwa hai ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+
28 Msistaajabie jambo hili, kwa sababu saa inakuja ambayo wale wote waliomo ndani ya makaburi ya ukumbusho+ wataisikia sauti yake
15 nami nina tumaini+ kwa Mungu, tumaini ambalo watu hawa pia wanalo, kwamba kutakuwa na ufufuo+ wa waadilifu+ na wasio waadilifu+ pia.
2 Zaidi ya hilo, ninyi ndio ambao Mungu alifanya kuwa hai ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+