10 Lakini Eliya akajibu na kumwambia yule mkuu wa 50: “Naam, ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto+ na ushuke kutoka mbinguni, ukuteketeze wewe na 50 wako.” Na moto ukashuka kutoka mbinguni, ukamteketeza yeye na wale 50 wake.+
22 Nami nitajiingiza mwenyewe katika hukumu+ pamoja naye, kwa tauni+ na kwa damu;+ nami nitanyesha mvua kubwa yenye kufurika na mawe,+ moto+ na kiberiti juu yake na juu ya vikosi vyake na juu ya vikundi vingi vya watu vitakavyokuwa pamoja naye.+