Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Farao alimtendea Abramu vema kwa sababu ya Sarai, naye akapata kondoo, ng’ombe, punda madume na majike, watumishi wa kiume na wa kike, na ngamia.+

  • Mwanzo 26:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na Isaka akaanza kupanda mbegu katika nchi hiyo, na mwaka huo alivuna mara 100 zaidi ya mbegu alizopanda, kwa kuwa Yehova alikuwa akimbariki.+

  • Mwanzo 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Alipata makundi ya kondoo na makundi ya ng’ombe na kundi kubwa la watumishi,+ nao Wafilisti wakaanza kumwonea wivu.

  • Mwanzo 31:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo Yakobo akainuka na kuwapandisha watoto wake na wake zake juu ya ngamia,+ 18 naye akaanza kuchukua mifugo yake yote na mali zote alizokusanya+ huko Padan-aramu, akaanza safari ya kwenda kwa Isaka baba yake katika nchi ya Kanaani.+

  • Mwanzo 46:33, 34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Farao akiwaita na kuwauliza, ‘Mnafanya kazi gani?’ 34 Mnapaswa kumwambia, ‘Sisi watumishi wako tumekuwa wafugaji tangu tulipokuwa vijana mpaka sasa, sisi pamoja na mababu zetu,’+ ili mwishi katika nchi ya Gosheni,+ kwa sababu Wamisri wanamchukia kila mtu anayefuga kondoo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki