8 “Pia, alimpa agano la tohara,+ naye Abrahamu akawa baba ya Isaka+ na kumtahiri siku ya nane,+ na Isaka akawa baba ya* Yakobo, naye Yakobo akawa baba ya wale vichwa 12 vya familia.*
11 Naye alipokea ishara+—yaani, kutahiriwa—kuwa muhuri wa* uadilifu kwa imani aliyokuwa nayo alipokuwa katika hali yake ya kutotahiriwa, ili awe baba ya wale wote walio na imani+ ingawa hawajatahiriwa, kusudi wahesabiwe kuwa waadilifu;