34 Esau alipokuwa na umri wa miaka 40, alimwoa Yudithi binti ya Beeri Mhiti na pia Basemathi binti ya Eloni Mhiti.+35 Walikuwa chanzo cha huzuni kubwa* kwa Isaka na Rebeka.+
46 Baada ya hayo Rebeka akawa akimwambia Isaka: “Ninachukia maisha yangu kwa sababu ya mabinti wa Hethi.+ Yakobo akioa mke kutoka kwa mabinti wa Hethi, kama mabinti hawa wa nchi hii, maisha yangu yana faida gani?”+