Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 35:5-9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ‘Mtoleeni Yehova mchango kutoka miongoni mwenu.+ Kila mtu aliye na moyo wa kutoa kwa hiari+ na amletee Yehova mchango wa dhahabu, fedha, shaba, 6 nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, kitani bora, manyoya ya mbuzi,+ 7 ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, ngozi za sili, mbao za mshita, 8 mafuta kwa ajili ya taa, mafuta ya zeri ya kutengenezea mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na uvumba uliotiwa manukato,+ 9 mawe ya shohamu, na mawe mengine ya kupambia efodi+ na kifuko cha kifuani.+

  • Methali 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani,+

      Kwa mavuno ya kwanza ya* mazao* yako yote;+

  • 2 Wakorintho 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda* wala kwa kulazimishwa,+ kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki