Kutoka 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Tengeneza beseni la kunawia la shaba pamoja na kinara chake;+ kisha uliweke kati ya hema la mkutano na madhabahu na utie maji ndani yake.+ Kutoka 38:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha akatengeneza beseni la shaba+ na kinara chake cha shaba; alitumia vioo* vya wanawake waliotumikia kwenye mlango wa hema la mkutano kulingana na mpangilio uliowekwa.
18 “Tengeneza beseni la kunawia la shaba pamoja na kinara chake;+ kisha uliweke kati ya hema la mkutano na madhabahu na utie maji ndani yake.+
8 Kisha akatengeneza beseni la shaba+ na kinara chake cha shaba; alitumia vioo* vya wanawake waliotumikia kwenye mlango wa hema la mkutano kulingana na mpangilio uliowekwa.