Hesabu 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha Kora+ mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi,+ mwana wa Lawi,+ akaungana na Dathani na Abiramu wana wa Eliabu,+ na Oni mwana wa Pelethi, wazao wa Rubeni.+ Hesabu 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naam, dunia ikafunguka* na kuwameza watu hao pamoja na familia zao na watu wote wa Kora+ na mali zao zote. Hesabu 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha dunia ikafunguka* na kuwameza. Lakini Kora alikufa pamoja na watu waliomuunga mkono moto ulipowateketeza watu 250.+ Wakawa onyo kwa wengine.+
16 Kisha Kora+ mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi,+ mwana wa Lawi,+ akaungana na Dathani na Abiramu wana wa Eliabu,+ na Oni mwana wa Pelethi, wazao wa Rubeni.+
32 Naam, dunia ikafunguka* na kuwameza watu hao pamoja na familia zao na watu wote wa Kora+ na mali zao zote.
10 Kisha dunia ikafunguka* na kuwameza. Lakini Kora alikufa pamoja na watu waliomuunga mkono moto ulipowateketeza watu 250.+ Wakawa onyo kwa wengine.+