Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 46:33, 34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Farao akiwaita na kuwauliza, ‘Mnafanya kazi gani?’ 34 Mnapaswa kumwambia, ‘Sisi watumishi wako tumekuwa wafugaji tangu tulipokuwa vijana mpaka sasa, sisi pamoja na mababu zetu,’+ ili mwishi katika nchi ya Gosheni,+ kwa sababu Wamisri wanamchukia kila mtu anayefuga kondoo.”+

  • Kutoka 10:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Musa akasema: “Wewe mwenyewe tupatie dhabihu na matoleo ya kuteketezwa, nasi tutazitoa kwa Yehova Mungu wetu.+ 26 Tutaenda pia na mifugo yetu. Hatutamwacha mnyama yeyote,* kwa sababu tutawatoa dhabihu baadhi ya wanyama hao tunapomwabudu Yehova Mungu wetu, na hatujui ni mnyama gani tutakayemtolea Yehova kuwa dhabihu mpaka tutakapofika huko.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki