Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo Musa akawaambia watu: “Kumbukeni siku hii mliyotoka Misri,+ kutoka katika nyumba ya utumwa, kwa sababu kwa mkono wenye nguvu Yehova aliwatoa katika nchi hii.+ Kwa hiyo hampaswi kula kitu chochote kilichotiwa chachu.

  • Kutoka 34:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Hampaswi kutoa damu ya dhabihu yangu pamoja na kitu chochote kilichotiwa chachu.+ Dhabihu ya sherehe ya Pasaka haipaswi kuhifadhiwa usiku kucha mpaka asubuhi.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hampaswi kula kitu chochote chenye chachu pamoja na dhabihu hiyo;+ kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu, mikate ya mateso, kwa sababu mlitoka haraka katika nchi ya Misri.+ Fanyeni hivyo sikuzote za maisha yenu ili mkumbuke siku mliyotoka katika nchi ya Misri.+

  • 1 Wakorintho 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi na tufanye sherehe,+ si kwa chachu ya zamani, wala kwa chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mikate isiyo na chachu ya unyoofu na kweli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki