3 Hampaswi kula kitu chochote chenye chachu pamoja na dhabihu hiyo;+ kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu, mikate ya mateso, kwa sababu mlitoka haraka katika nchi ya Misri.+ Fanyeni hivyo sikuzote za maisha yenu ili mkumbuke siku mliyotoka katika nchi ya Misri.+
7 Ondoeni chachu ya zamani, ili muwe donge jipya, kwa kuwa ninyi hamna chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo mwanakondoo wetu wa Pasaka+ ametolewa dhabihu.+