Kutoka 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muone jinsi Yehova atakavyowaokoa leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo, hamtawaona tena kamwe.+ Zaburi 106:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Maji yaliwafunika maadui wao;Hakuna hata mmoja wao aliyeokoka.*+ Zaburi 136:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Alimkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.
13 Ndipo Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muone jinsi Yehova atakavyowaokoa leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo, hamtawaona tena kamwe.+
15 Alimkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.