13 Ndipo Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muone jinsi Yehova atakavyowaokoa leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo, hamtawaona tena kamwe.+
28 Maji yaliyokuwa yakirudi yalifunika magari ya vita na askari wapanda farasi na wanajeshi wote wa Farao waliokuwa wameingia baharini kuwafuatia.+ Hakuna hata mmoja wao aliyeokoka.+