21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+
19 Kora alipokuwa amewakusanya watu wote waliomuunga mkono+ kwenye mlango wa hema la mkutano ili kumpinga Musa na Haruni, utukufu wa Yehova ukawatokea watu wote waliokusanyika.+
5 Alipokuwa bado akizungumza, tazama! wingu jangavu likawafunika, na tazama! sauti kutoka katika lile wingu ikasema: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa, ambaye nimemkubali.+ Msikilizeni.”+