Hesabu 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunidharau mpaka lini,+ watakataa kuniamini mpaka lini licha ya miujiza yote niliyofanya miongoni mwao?+ Zaburi 78:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hawakushika agano la Mungu+Nao walikataa kutembea katika sheria yake.+ Zaburi 106:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini walisahau haraka mambo aliyotenda;+Hawakungojea ushauri wake.
11 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunidharau mpaka lini,+ watakataa kuniamini mpaka lini licha ya miujiza yote niliyofanya miongoni mwao?+