Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 31:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa mara tu alipomaliza kuzungumza naye kwenye Mlima Sinai, alimpa Musa mabamba mawili ya Ushahidi,+ mabamba ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu.+

  • Kutoka 40:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kisha akachukua yale mabamba ya Ushahidi+ na kuyaweka ndani ya sanduku la Ushahidi,+ akatia fito+ kwenye pete za Sanduku hilo na kuweka kifuniko+ juu ya Sanduku hilo.+

  • 1 Wafalme 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hakukuwa na kitu kingine ndani ya Sanduku hilo isipokuwa yale mabamba mawili ya mawe+ ambayo Musa aliyaweka humo+ kule Horebu, Yehova alipofanya agano+ na Waisraeli walipokuwa wakitoka nchini Misri.+

  • Waebrania 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hicho kilikuwa na chetezo cha dhahabu+ na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kabisa kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana,+ fimbo ya Haruni iliyochipuka,+ na yale mabamba+ ya agano;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki